Go Back   Mashada Forums » Music & Entertainment » Music
Connect with Facebook

Notices

Reply
 
LinkBack Thread Tools Display Modes
  #1 (permalink)  
Old 11th April 2006, 02:49 PM
Member
 
Join Date: Apr 2006
Location: .
Posts: 33   (View Stats)
mdabu
Not Ranked  0 score     
Default mdabu tena chemsha bongo dadi    Show Printable Version  Print   Email this Page  Email  

yeah jina mdabuu a.k.a. mtu watu jina hamjaskia
lakini wacha nikuwe sincere
jina mdabu mtaiiskia by the end of the year
mamcs hamna baha
nimekuja kuwakatsia raha
mnakuwa restless mki haha
mkiniona mnakosa ya kusema
msha katikiwa na hewa mnahema
mnatoa tu mahiccupps
mafans wakiruka ruka mko down mki do ma sit ups
aibu kibao mpaka makemfa wanajipa
nashangaa ka noi ingekuwa inatolewa kwa jiko,
ni machali wangapi wangeweza kushika mwiko
mkono isha chomeka imeshura
ushaanza kuhop ka chura

yeah nakumbuka siku ya kwanza kukucheki
nilikuwa na maboyz base tumeketi
tulikuwa manduku mbaya
tukiirarua na makuku mbaya
mogoka ilikuwa inatubamba mbaya
macho nilikuwa nimekondoa
kwa hivyo nilikuwa naona poa
Reply With Quote
Reply

Tags
bongo, chemsha, dadi, mdabu, tena

Thread Tools
Display Modes

Posting Rules
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts

BB code is On
Smilies are On
[IMG] code is On
HTML code is Off
Trackbacks are On
Pingbacks are On
Refbacks are On



All times are GMT -4. The time now is 01:54 PM.


SEO by vBSEO 3.3.0