|
|
|
|
Senior Member
|
|
Posts: 696
Join Date: Mar 2005
Location: Texas
|
|
...................... -
08-05-2005, 04:49 PM
Nimkumbukapo mama, machozi hunijia kwa ghafla na huzuni hunijaza moyoni. Wakati mwingine huwa namwona kwa ndoto akinyoosha mkono wake ili niupokee. Na kila ninapothubutu kufanya hivyo, siwezi kuufikia. Mawazo yake mama hunijia kwa ghafla, na simanzi chungu nzima hunijaza moyoni. Baba je? Baba ni jina ambalo silifahamu kwa ukamilifu..ni jina linalojaza akili yangu na maswali tele. Mwaka mmoja sasa umepita na maisha ni yale yale ya kusaka, kufa na kupona, na matatizo mengine tofauti . Wakati mwingi mimi huja hapa msituni na kuketi katika jiwe hili. Kuwaza na kuwazua kumenichosha . sijijui tena wala sijielewi. Mbele na nyuma ni mamoja kwangu. Nimeketi hapa kwa masaa mawili huku fikra chungu nzima zikinivamia. Nakumbuka mama akiniambia nisiwe nikiwaza sana , lakini ingekuwaje? Afya ya mama iliendelea kuzorota na daktari wakawa hawana faida zozote. Nakumbuka siku hiyo kana kwamba ilikuwa jana. Katika chumba chetu kimoja, nilikuwa nimemlaza mama kwenye kiti na kumfunika na blanketi moja ambayo ilikuwa imechakaa kiasi. Nakumbuka waziwazi ambavyo mama angekohoa kwa masaa mengi. Dawa hazikuweza tena kumtibu. Nilimtazama mama na ingawapo nilijaribu kuyaficha machozi yangu, sikuweza tena. Hata hivyo, ningewezaje kuyaficha huku nikitazama mfupa huu uliolala kitandani? Mama aliaga dunia saa nane za usiku mwaka wa 10 Mei 1988. Kifo kilimbeba ghafla bin vu alipokuwa amelala na sikufahamu kuwa ameaga dunia mpaka asubuhi siku iliyofuata. Ndipo sasa nikafahamu waziwazi maana ya msemo: maisha ni kama upepo- huja na huenda.
Masaa matatu sasa, nimeketi hapa. Naitazama bundiki hii iliyo mkononi mara kwa mara. Bundiki hii ina risasi moja tu; na risasi hiyo itakuwa wokovu wangu. Nilipataje bunduki hii wauliza? hii bunduki ni ya rafiki yangu mpendwa hasan, aliyeuliwa na majambazi. Alinipatia bunduki hii kama zawadi, ya urafiki tulioukuwa nao. Hata hivyo, sijawahi kumwuuliza kwa nini alinipatia bunduki kama zawadi. Ni jambo la kushangaza. Ama labda aliiona siku hii ikirejea? Siwezi jua. Aaah
Hasan, kijana mmoja mnyamavu na mwenye roho safi ajabu..rafiki kweli.
Wakati wangu sasa umewadia. Dunia naiaga. Sijijui, sijitambui, lakini nafahamu kwa akili timamu kuwa siwezi tena kuendelea. Hasan
bunduki ya rafiki yangu mpendwa, itakuwa wokovu wangu.
Maisha ni kusaka, kufa na kupona- maisha ni kama bendera- hupeperushwa pande zote,
wakati wowote.
( kifungu hiki ni cha uzushi(fiction)-wahusika wote kadhalika- kimeandikwa kwa ajili ya kukitukuza Kiswahili bila sababu nyinginezo za kuhatarisha)
|
|
|
|
Senior Member
|
|
Posts: 2,327
Join Date: Jan 2004
Location: somewhere
|
|
RE: ...................... -
08-06-2005, 12:27 AM
grammar 101,
paragraphs....
|
|
|
|
Senior Member
|
|
Posts: 2,166
Join Date: Jan 2005
Location: London, UK.
|
|
RE: ...................... -
08-06-2005, 04:20 AM
this reminds me of insha in primo....GOD.....those memories, manze i used 2 fail swa!!!
|
|
|
|
|
|
Posts: 1,829
Join Date: Aug 2004
Location: .
|
|
RE: ...................... -
08-08-2005, 02:17 AM
>this reminds me of insha in primo....GOD.....those memories,
>manze i used 2 fail swa!!!
So, what did you pass in?
|
|
|
|
Senior Member
|
|
Posts: 2,166
Join Date: Jan 2005
Location: London, UK.
|
|
RE: ...................... -
08-08-2005, 10:21 AM
>>this reminds me of insha in primo....GOD.....those
>memories,
>>manze i used 2 fail swa!!!
>
>
>So, what did you pass in?
I used 2 pass enlish and c.r.e........those r the only subjects i could atleast get an 80% and above
*once u go black u never go back!!*
|
|
|
|
Moderator
|
|
Posts: 2,721
Join Date: Mar 2004
|
|
tough guy -
08-08-2005, 10:32 AM
I was the main guy in the MPC combination
Metalwork , Plumbing & Capentry , used to charaza those subjects like there was no tommorow .
Nxele Ncquobile Nqakule
2B or not 2B
Until at that point when the lions will have someone to chronicle their tales , the hunter will always be glorified
|
|
|
|
Senior Member
|
|
Posts: 2,327
Join Date: Jan 2004
Location: somewhere
|
|
RE: tough guy -
08-08-2005, 09:19 PM
>I was the main guy in the MPC combination
>
>Metalwork , Plumbing & Capentry , used to charaza those
>subjects like there was no tommorow .
LMAO!!!!!!!!!
a school in western i presume?
|
|
|
|
|
|
Posts: 1,829
Join Date: Aug 2004
Location: .
|
|
RE: ...................... -
08-09-2005, 12:54 AM
>>I used 2 pass enlish and c.r.e........those r the only
>>subjects i could atleast get an 80% and above
>
One more question, which school was this?
|
|
|
|
|
|
Posts: 1,829
Join Date: Aug 2004
Location: .
|
|
RE: tough guy -
08-09-2005, 12:57 AM
>>I was the main guy in the MPC combination
>>
>>Metalwork , Plumbing & Capentry , used to charaza those
>>subjects like there was no tommorow .
>
>
>
>LMAO!!!!!!!!!
>
>a school in western i presume?
>
Anti-nyita! That's Mathematics, Physics & Chemistry!
|
|
|
|
Senior Member
|
|
Posts: 851
Join Date: Oct 2003
Location: .
|
|
RE: ...................... -
08-09-2005, 05:34 AM
>
>>>I used 2 pass enlish and c.r.e........those r the only
>>>subjects i could atleast get an 80% and above
>>
>
>
>One more question, which school was this?
Hehehehe. Me thinks she has a "crash" on you.
What's this place come to anyway?
Step away from that idiot.. I'm certified! 
|
| Thread Tools |
|
|
| Display Modes |
Linear Mode
|
Posting Rules
|
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts
HTML code is Off
|
|
|
|
|
|
 |
 |
|