Mashada - African Chat, Discussions, Blogs, Photos, Classifieds & More!
 
HOME Forums Chat Photos Blog Events Calendar Directory

Go Back   Mashada Forums > Society & Culture > Maisha ya Kenya > NI UKWELI?
Reply
 
LinkBack Thread Tools Display Modes
(#1 (permalink))
Old
MAVI MOTO
 
Posts: 8
Join Date: Jul 2005
Location: NYALI-MOMBASA, COAST, KENYA.
Report Post
Default NI UKWELI? - 08-01-2005, 06:23 AM

Shangazi wangu alikuwa ulaya juzi-Ujerumani,na akatuelezea visa vya kushangaza kweli!;Eti huko ulaya makahaba na malaya eti wako na vibali vya kufanya kazi!
Tena eti hawa ma homosexuals yaani mashoga wametambuliwa na serikali!Hapa pwani-ndio wako,lakini ni hatia kufanya vitendo kama hivyo,tena aibu kubwa kati ya majirani.
MI ni mu islamu na kamwe kama haya mambo ni ya ukweli,ulaya sikanyangi maishani mwangu.ALLAHU AKBAR!
 
Reply With Quote
(#2 (permalink))
Old
mahatma
 
Posts: 1,829
Join Date: Aug 2004
Location: .
Report Post
Default RE: NI UKWELI? - 08-01-2005, 07:23 AM

Are you sure you are not related to Spairo?
 
Reply With Quote
(#3 (permalink))
Old
Senior Member
Beenie_gal is an unknown quantity at this point
 
Posts: 2,167
Join Date: Jan 2005
Location: London, UK.
Report Post
Default RE: NI UKWELI? - 08-01-2005, 07:54 AM

>Shangazi wangu alikuwa ulaya juzi-Ujerumani,na akatuelezea
>visa vya kushangaza kweli!;Eti huko ulaya makahaba na malaya
>eti wako na vibali vya kufanya kazi!
> Tena eti hawa ma homosexuals yaani mashoga wametambuliwa
>na serikali!Hapa pwani-ndio wako,lakini ni hatia kufanya
>vitendo kama hivyo,tena aibu kubwa kati ya majirani.
> MI ni mu islamu na kamwe kama haya mambo ni ya
>ukweli,ulaya sikanyangi maishani mwangu.ALLAHU AKBAR!

HEY HOT SH1T.........I AM SORRY BUT IT TOOK ME HALF AN HOUR 2 READ UR' POST (SINCE I HAD 2 USE A KAMUSI)AND I AM AFRAID IT WILL TAKE ME LONGER 2 RE[PLY......I WILL REPLY L8ER.

I HAVE ALREADY DONE NUFF'; SWAHILI 4 NOW!!!

~~hey b1tch, shut-up and come to mama~~
 
Reply With Quote
(#4 (permalink))
Old
Mand meru
 
Posts: 2,167
Join Date: May 2004
Location: .
Report Post
Default RE: NI UKWELI? - 08-01-2005, 07:55 AM

Dude you need to get a life or maybe you're yet to join the 21st century. Have you ever heard of red light district or sex-court? If not pole, I think in your case ignorance is bliss.
 
Reply With Quote
(#5 (permalink))
Old
Senior Member
supermann
 
Posts: 2,327
Join Date: Jan 2004
Location: somewhere
Report Post
Default RE: NI UKWELI? - 08-01-2005, 07:59 AM

first things first:welcome.

secondly,your handle iz weird,almost offensive.

lastly,relax with that swa.mbuyus,ongea kiswahili mbaya ile ya watu wa bara au tafuta mahala pa watanzania kwani wanachi wengi hapa hawata kuelewa.

the rest about your "discovery" iz old news.kwani what cave iz you living in?

ushawahi kuskia "red light district"?and i aint talkin' 'bout ludacris' last album.that iz what your shangazi waz talkin about.

mashoga na makahaba wamo chungu nzima pwani,mbona washangaa hivi?
 
Reply With Quote
(#6 (permalink))
Old
Senior Member
Beenie_gal is an unknown quantity at this point
 
Posts: 2,167
Join Date: Jan 2005
Location: London, UK.
Report Post
Default RE: NI UKWELI? - 08-01-2005, 08:13 AM


>the rest about your "discovery" iz old news.kwani what cave iz
>you living in?

i know, mayb he is an alien from planet fat-chance, wot an oblivious sad-oh, i have neva heard any1 write that much swahili sanifu containing more than 30 wrds, 2times!!!!
the guyz gat some guts!!!!! and 2 make him sound even wierder he doesnt know about gayness? wao dudes gat alot 2 learn!!

~~hey b1tch, shut-up and come to mama~~
 
Reply With Quote
(#7 (permalink))
Old
Senior Member
Mzungu-Mweusi is an unknown quantity at this point
 
Posts: 3,151
Join Date: Feb 2003
Location: Somewhere, KENYA, KENYA.
Report Post
Default RE: NI UKWELI? - 08-01-2005, 11:39 AM

Huyambo, Bwana Mavi. Nakuona unaongea mavi tupu kweli.

Kwanza, hayo maneno za ki shoga zime jaa kule Mombasa . wacha fitina..
walisema kisauni ni ya kisau. Mashoga na mahanithi wamejaa kule kibokoni, ganjoni, docks na kwengineyo. Kwa Hivyo hoja siyo kushangaa na mashoga na shughuli kama hizo.
Ya pili, makahaba na malaya wamejaa kule pwani pia, baharini wamejaa malaya,tena watoto,waki endelea na kazi ya kuhudumia wale wazungu.

Lakini hii dhulma na Khazia, zimezoroteshwa na kuzushwa na iblisi(ok I don’t have a clue where I got this line from,certainly don’t give a fffkk,manake half of yall don’t know jack hehe)

Lakini ninge penda kuliza swali, una shaka na maneno hayo shangazi wako alikua ambia?, mbona wakuja hapa halafu wauliza swali za mavi?

kwani shangazi wako alikua aki fanya nini kule ujerumani?, biashara aina gani alikua aki fanya huku ulaya?. Sina chuki ,swali tu. :D


Quick Translation to those who don’t give rats tail about Swa.

The Hot Shiiitttt Coasterian wants to know, (by account of his beloved auntie who went/or lived in Germany, since we don’t know what she did over there, )If its true that Hoz up in Germany have a license and that Fags are plenty full. heheheehe
 


Mpanda Ngazi Hushuka!
Reply With Quote
(#8 (permalink))
Old
MAVI MOTO
 
Posts: 8
Join Date: Jul 2005
Location: NYALI-MOMBASA, COAST, KENYA.
Report Post
Default @mzungu-mweusi - 08-01-2005, 11:56 AM

>Huyambo, Bwana Mavi. >

Jambo la kwanza,mie si mwanaume,nilitaraji kupata majibu sanifu sio matusi kakangu,mie sikai ulaya,nilifanya kuuliza tu swali-kwa roho safi!

Hapa mombasa,ndio vituko vya kushangaza hufanyika,lakini hata hivyo serikali imekaza vikwazo ili kujaribu kupunguza umalaya na vitendo vya ushoga.
Mie hufanya biashara ya wholesale karibu na kongowea soko,lakini mambo niliyoyaskia kuhusu ulaya yalinishngaza mno!
 
Reply With Quote
(#9 (permalink))
Old
Senior Member
Mzungu-Mweusi is an unknown quantity at this point
 
Posts: 3,151
Join Date: Feb 2003
Location: Somewhere, KENYA, KENYA.
Report Post
Default RE: @mzungu-mweusi - 08-01-2005, 12:17 PM

>>Huyambo, Bwana Mavi. >
>
> Jambo la kwanza,mie si mwanaume,nilitaraji kupata majibu
>sanifu sio matusi kakangu,mie sikai ulaya,nilifanya kuuliza tu
>swali-kwa roho safi!
>
> Hapa mombasa,ndio vituko vya kushangaza hufanyika,lakini
>hata hivyo serikali imekaza vikwazo ili kujaribu kupunguza
>umalaya na vitendo vya ushoga.
> Mie hufanya biashara ya wholesale karibu na kongowea
>soko,lakini mambo niliyoyaskia kuhusu ulaya yalinishngaza
>mno!

Salaams Mavi joto. Lahaula,Muslimah mwenye jina Mavi Moto. Haya Basi.

Pole sina chuki. matusi sija ku tusi, ni maswali pia nimeuliza tu.

Kongowea, wana interneti sikuzi?.
 


Mpanda Ngazi Hushuka!
Reply With Quote
(#10 (permalink))
Old
fuck
 
Posts: 54
Join Date: Nov 2003
Location: .
Report Post
Default RE: NI UKWELI? - 08-01-2005, 06:46 PM

>Shangazi wangu alikuwa ulaya juzi-Ujerumani,na akatuelezea
>visa vya kushangaza kweli!;Eti huko ulaya makahaba na malaya
>eti wako na vibali vya kufanya kazi!
> Tena eti hawa ma homosexuals yaani mashoga wametambuliwa
>na serikali!Hapa pwani-ndio wako,lakini ni hatia kufanya
>vitendo kama hivyo,tena aibu kubwa kati ya majirani.
> MI ni mu islamu na kamwe kama haya mambo ni ya
>ukweli,ulaya sikanyangi maishani mwangu.ALLAHU AKBAR!

POLE SANA NDUGU YANGU NAFIKIRI SHANGAZI YAKO HAKULIPWA KWA KAZI YAKE YA UKAHABA ALIO ENDA KUFANYA HUKO UJERUMANI, MASKINI NDUGU YANGU USIJARIBU MANAKE WEWE PIA UTA TIWA BILA KULIPWA KISHA UTAENDA KUENEZA UVUMI, NA KUWATISHA NDUGUZANGUNI. MIMI MUISLAMU LAKINI NAPATA HAKI YANGU KILA SIKU NATENGEZA $2000 KUPANUA ****** BASI SIENEZI UVUMI BALI NI UKWELI WA MAMBO MOMBASA ILINIFUNDISHA MBONA WASHANGAA? KWA MAJINA NAJULIKANA KAMA "KUNDULE KASKAZINI PASIPO GUZWA NASHERIA"
 
Reply With Quote
Reply


Thread Tools
Display Modes

Posting Rules
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts

vB code is On
Smilies are On
[IMG] code is On
HTML code is Off
Trackbacks are On
Pingbacks are On
Refbacks are On






SEO by vBSEO 3.1.0