RE: # 9 AREA CODE EASTLEIGH MASSIVE -
08-02-2004, 05:47 PM
Rashad kichwa wewe
Kwani mabuyu za mtaaro umesahau? We inakaa unataka fight madoggy after class!
Ati nyinyi mnadai 8b, mi nadai 28.. hao wasee ni wenda lakini wapi! sare kwa nguvu na wata do?
Mbuyu holla at ya boy!
@rashad
hehe sema bana,yup manze in easich me nikama mayor.hakuna risto sikuwa naget 411.manze bon free was sawa but b4 that kulikuwa na heart breaker na ingine ilikua inaitwa memories.damn that matatu made me crazy,pia na u.k rampage,choclate factory,and night nurse,shaquille o'neil,bulls,ilikua sawa it had even rim ya bake.they all had alarms na makangas used to piga firimbi. damnnn i miss them sweet old days.
na hizo story za 21 questions manze zinamaba.we wacha uone vile tunakaranga wathii.na risto za mamanzi wa nai,hehe ilikwachu mbaya.
manze niko na collection ingine na mbisha za home na pia reggae za nguvu from days of papa lefty.we hit me up and we organize vile tutaorganize kabash ya wathii wa mtaaani.
hehe
ati #28?hao makanga walikua wamechoka na walikua wanavaa 3/4 pants na wamekaranga meno.hizo mat wathii walikua wanapangwa kama mboga za
gikosh.damn.
@zeux
hehe manze hiyo sunset the teachers used to send me chipo.i used to scoop kidogo (kuomja) kabla he wrapps it.i used to see em sending me kebab na gizzard,i was like damnn wako na ganji while me i had a kobole.hhee
rashad,we hit me up kabla njeve ya winter chips in
|