RE: @mzungu-mweusi -
08-01-2005, 12:17 PM
>>Huyambo, Bwana Mavi. >
>
> Jambo la kwanza,mie si mwanaume,nilitaraji kupata majibu
>sanifu sio matusi kakangu,mie sikai ulaya,nilifanya kuuliza tu
>swali-kwa roho safi!
>
> Hapa mombasa,ndio vituko vya kushangaza hufanyika,lakini
>hata hivyo serikali imekaza vikwazo ili kujaribu kupunguza
>umalaya na vitendo vya ushoga.
> Mie hufanya biashara ya wholesale karibu na kongowea
>soko,lakini mambo niliyoyaskia kuhusu ulaya yalinishngaza
>mno!
Salaams Mavi joto. Lahaula,Muslimah mwenye jina Mavi Moto. Haya Basi.
Pole sina chuki. matusi sija ku tusi, ni maswali pia nimeuliza tu.
Kongowea, wana interneti sikuzi?.
|