Thread: NI UKWELI?
View Single Post
(#8 (permalink))
Old
MAVI MOTO MAVI MOTO is offline
Junior Member
MAVI MOTO
 
Posts: 8
Join Date: Jul 2005
Location: NYALI-MOMBASA, COAST, KENYA.
Report Post
Default @mzungu-mweusi - 08-01-2005, 11:56 AM

>Huyambo, Bwana Mavi. >

Jambo la kwanza,mie si mwanaume,nilitaraji kupata majibu sanifu sio matusi kakangu,mie sikai ulaya,nilifanya kuuliza tu swali-kwa roho safi!

Hapa mombasa,ndio vituko vya kushangaza hufanyika,lakini hata hivyo serikali imekaza vikwazo ili kujaribu kupunguza umalaya na vitendo vya ushoga.
Mie hufanya biashara ya wholesale karibu na kongowea soko,lakini mambo niliyoyaskia kuhusu ulaya yalinishngaza mno!
 
Reply With Quote