NI UKWELI? -
08-01-2005, 06:23 AM
Shangazi wangu alikuwa ulaya juzi-Ujerumani,na akatuelezea visa vya kushangaza kweli!;Eti huko ulaya makahaba na malaya eti wako na vibali vya kufanya kazi!
Tena eti hawa ma homosexuals yaani mashoga wametambuliwa na serikali!Hapa pwani-ndio wako,lakini ni hatia kufanya vitendo kama hivyo,tena aibu kubwa kati ya majirani.
MI ni mu islamu na kamwe kama haya mambo ni ya ukweli,ulaya sikanyangi maishani mwangu.ALLAHU AKBAR!
|